Mtoto wangu ana mwaka mmoja na miezi mitano na ni wa kiume,mwezi mmoja uliopita alikuwa anakojoa huku kachuchumaa nje nikamuona last drop ilikuwa na wekundu wa Sami,nikamwambia wife akakataa na kutoamini!!
Wiki mbili zilizopita akashikwa na joto kali na kutapika kwa kila alichokula ndani ya dakika 10-15,akipewa maji alitapika,akinyonya pia alitapika na chakula ndio kabisaa!! Nikampeleka hospital ya gvt wakasema hana malaria labda UTI,wakampa dawa akatumia ikaisha na nikanunua tena ili kutimiza dozi!!
Baada ya siku kadhaa akaumwa tRNA,nikampeleka private hospital,wakasema ana malaria na pampasi aliyovaa aliikojolea mkojo usiku asubuhi ikawa ni chafu nikamuonyesha Dr ila akasema nisihofu mtoto mdogo hapati UTI!!
Leo asubui wife yupo safarini mkoani ananiambia bukta ya mtoto kaikuta na damu damu alipomalizs kukojoa!!!
Wakuu tatizo itakuwa ni nini??!! Naomba mnisaidie!!
Wiki mbili zilizopita akashikwa na joto kali na kutapika kwa kila alichokula ndani ya dakika 10-15,akipewa maji alitapika,akinyonya pia alitapika na chakula ndio kabisaa!! Nikampeleka hospital ya gvt wakasema hana malaria labda UTI,wakampa dawa akatumia ikaisha na nikanunua tena ili kutimiza dozi!!
Baada ya siku kadhaa akaumwa tRNA,nikampeleka private hospital,wakasema ana malaria na pampasi aliyovaa aliikojolea mkojo usiku asubuhi ikawa ni chafu nikamuonyesha Dr ila akasema nisihofu mtoto mdogo hapati UTI!!
Leo asubui wife yupo safarini mkoani ananiambia bukta ya mtoto kaikuta na damu damu alipomalizs kukojoa!!!
Wakuu tatizo itakuwa ni nini??!! Naomba mnisaidie!!