Msaada kwa mtu aliyepata stroke ( ISCHEMIC)

Asante sana MkavuMkavu...!!!
 
Ila juisi ya nanasi na karoti zote unazichanganya???
 
Wapo mkuu sasa sijajua ni wataalam wa aina gani wa tiba asili au hawa wa kucheza na manyanga???
 
nitafute pm kama hutojali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…