msaada kwa mwenye kufahamu.

msaada kwa mwenye kufahamu.

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,570
ndugu wanajamvi napenda kuuliza kwamba mbona majina ya wanafunzi tuliochaguliwa kujiunga na UDSM kama profile zetu zinavyo onyesha kwa kutumia vyeti vya diploma hayaonekani kwenye website ya chuo isipokuwa wameonyesha ya six leavers tu,je hii inamaana gani? pls msaada.
 
Back
Top Bottom