Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It seems huna cha kufanya. Huo muda mnautoa wapi?Mkuu kama huna majibu pita tu mkuu kimya kimya....
Nina sababu za msingi za kuuliza hilo mkuu. Labda nikueleze kidogo...
Wachagga wa uru hao mkuuWakuu naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu wa asili ya jina Rambau.
Watu wenye majina Rambau wanatoka mkoa gani hapa Tanzania na ni kabila gani ?
Shukrani.
Yewooomiii!!Wachagga wa uru hao mkuu
Yesu RuwaYewooomiii!!
Yesu , Maria na Yosefu.Yesu Ruwa
Yesu Ruwa wakomangi, Ruwa akunenge mbora tsake.Yesu , Maria na Yosefu.
Shukraniwachaga wa uru.....
Mkuu umekamilisha tafiti yako au ulikua labda bado una maswali kadhaa kuhusu watu wa Uru ?Shukrani
Imeisha hiyo. Nilitaka nijue tu asili maana kwa kweli nilikuwa sijui pamoja na kwamba ninawafahamu wachaga na ninaishi nao lakini hilo jina la Rambau nilikuwa silijui kabisa....Mkuu umekamilisha tafiti yako au ulikua labda bado una maswali kadhaa kuhusu watu wa Uru ?
Basi sawa Mkuu, mjiandae kwa safari za Kishumundu.Imeisha hiyo. Nilitaka nijue tu asili maana kwa kweli nilikuwa sijui pamoja na kwamba ninawafahamu wachaga na ninaishi nao lakini hilo jina la Rambau nilikuwa silijui kabisa....
Yaah, most likely huyo tutachukua jumla maana bro yupo serious. Actually bro mkubwa kabisa kaoa mchaga wa Rombo na probably ningemuuliza shemeji mkubwa angekuwa anajua hili jina. Hata hivyo bro mkubwa na shemeji bado hawana taarifa hizi.Basi sawa Mkuu, mjiandae kwa safari za Kishumundu.
Kama nakuona vile unataka kumuunganishia story ya wamama Wa uru walivyofika mjini wakiwa wamebeba ndizi,walipofika pale round about wakakutana na lile sanamu askari kashika bunduki wakatupa ndizi na kukacha.Mkuu umekamilisha tafiti yako au ulikua labda bado una maswali kadhaa kuhusu watu wa Uru ?
Usioe mchaga shauri yakoWakuu naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu wa asili ya jina Rambau.
Watu wenye majina Rambau wanatoka mkoa gani hapa Tanzania na ni kabila gani ?
Shukrani.