Msaada kwa mwenye kujua hili

Msaada kwa mwenye kujua hili

Hao wadudu wako ndani kabisa ya mbao, si kupuliza juu juu kua watakufa.

Mi nilinunua oil chafu, nikapaka atleast wamepunguza kelele, ni vema upake wakati wa jua/ joto ndo dawa yapita vyema
 
Hao wadudu wako ndani kabisa ya mbao, si kupuliza juu juu kua watakufa.

Mi nilinunua oil chafu, nikapaka atleast wamepunguza kelele, ni vema upake wakati wa jua/ joto ndo dawa yapita vyema
Ulipaka kabla au baada ya kupiga bati?
 
Ulipaka kabla au baada ya kupiga bati?
Ndio mkuu, ili nibidi nipande mana najua mafundi wangelipualipua, ila kua makini kama wamekula sana usije anguka.

Mara nyingi hawa wadudu huja baada ya kufunga board
 
Back
Top Bottom