Msaada kwa mwenye Private car kwenda Mwanza.

Msaada kwa mwenye Private car kwenda Mwanza.

Magari damu

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2020
Posts
433
Reaction score
759
Wakuu habari zenu,
Nimepanga kwenda Mwanza kati ya tarehe 22 hadi 24 mwezi huu ila hizi sikukuu kidogo imekua changamoto kupata usafiri wa umma maana buses zote ndani ya siku hizo tayari ziko booked na nahitaji sana kusafiri kati ya siku hizo.

Kwa yeyote ambae atakua na usafiri wake wa kwenda Mwanza kati ya siku hizo tajwa na tunaweza kuchangia mafuta, naomba anisaidie.
Unaweza nicheki hata DM.
Asante
 
Wakuu habari zenu,
Nimepanga kwenda Mwanza kati ya tarehe 22 hadi 24 mwezi huu ila hizi sikukuu kidogo imekua changamoto kupata usafiri wa umma maana buses zote ndani ya siku hizo tayari ziko booked na nahitaji sana kusafiri kati ya siku hizo.

Kwa yeyote ambae atakua na usafiri wake wa kwenda Mwanza kati ya siku hizo tajwa na tunaweza kuchangia mafuta, naomba anisaidie.
Unaweza nicheki hata DM.
Asante
Unatokea mkoa upi?
Kama ni DSM mbona rahisi sana wala haina haja ya kuweka tangazo hapa,nenda Mbezi mwisho muda wowote na siku yoyote ile unasafiri pasipo shida,kama upo Mbeya basi nenda pale Uyole ,utasafiri muda wowote na siku yotote.
kama ni Arusha Phillips,watakuelekeza wadau.
 
Husemi uko wapi unataka usafiri wa kutoka wapi sasa
 
Unatokea mkoa upi?
Kama ni DSM mbona rahisi sana wala haina haja ya kuweka tangazo hapa,nenda Mbezi mwisho muda wowote na siku yoyote ile unasafiri pasipo shida,kama upo Mbeya basi nenda pale Uyole ,utasafiri muda wowote na siku yotote.
kama ni Arusha Phillips,watakuelekeza wadau.
Asante mkuu
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Back
Top Bottom