kunajamaa yangu alipata matokeo haya1.History C
2.Kiswahil D
3.Language D
4.General Study -failed
haya ni matokeo ya A-level.anaweza aka apply course ipi na wapi akapata?Maana wengine wanamwambia amefail somo namba 4 eti ni lazima areset ni kweli wana jf?Msaada tafadhali.
2.Kiswahil D
3.Language D
4.General Study -failed
haya ni matokeo ya A-level.anaweza aka apply course ipi na wapi akapata?Maana wengine wanamwambia amefail somo namba 4 eti ni lazima areset ni kweli wana jf?Msaada tafadhali.