nevig
Member
- Oct 31, 2017
- 10
- 13
Habarin ndug zang? Nina tatizo moja ambalo nimeligundua hivi karibun ambalo linaniumiza kichwa nahitaji msaada kwa anayejua matibabu yake, mm ni Kijana nna umri wa miaka 27 kwa sasa na nna Mke ,nina uwezo wa kushirik tendo la ndoa vzr kama wengn lakini tatzo langu sina uwezo wa kusababisha mimba , na nmelijua hilo baada ya kuona mbon mkewng hashik mimba tulipokwenda hospital mm nkafanya checkup ya spermatozoa count ,nikaonekana mbegu 70% dead only 30% alive lakini pia speed ya mbeg zang nimeambiwa ni ndog sana ,nkapewa dawa za hospital kutumia ila cjaona mabadiliko mpka sasa ,kwa mwenye ufahamu juu ya swala hili naomba anisaidie kitu gan kinaweza nisaidia kusolve hili nitetee Amani ya ndoa yang . kama huna ufahamu juu ya hili nikuombe usiandike mambo yatakayo niongezea stress inaweza ikakugharumu pasipo kujua hujui nina maumivu kiasi gani ktk hili .asante