Msaada kwa mwenye ufahamu

Msaada kwa mwenye ufahamu

44 ninja

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
51
Reaction score
6
Endapo serikali inahitaji kuwahamisha wananchi katika maeneo yao kupisha mradi'
Inatakiwa ichukue muda gani kuwalipa waathirika baada ya kuwekewa X makazi yao?

NB: Yeyote mwenye ufahamu na ili jambo anaweza akanihabarisha kwa kina
 
Katika hili kuwekewa' X' si utaratibu sahihi. utaratibu ni kwamba kama serikali inataka kuchukua ardhi itatoa notisi kwa wakazi wa eneo linalochukuliwa na kutoa siku ya mwisho wa kuondoka (deadline). kabla ya watu wanaostahili kulipwa kuondoka serikali inatakiwa iwe imewalipa waathirika ndani ya wiki sita. zikipita wiki sita waathirika wana haki ya kufungua kesi ya madai mahakamani dhidi ya serikali. Angalia kifungu na. 13 cha sura ya 118 shiria za Tanzania.
 
Katika hili kuwekewa' X' si utaratibu sahihi. utaratibu ni kwamba kama serikali inataka kuchukua ardhi itatoa notisi kwa wakazi wa eneo linalochukuliwa na kutoa siku ya mwisho wa kuondoka (deadline). kabla ya watu wanaostahili kulipwa kuondoka serikali inatakiwa iwe imewalipa waathirika ndani ya wiki sita. zikipita wiki sita waathirika wana haki ya kufungua kesi ya madai mahakamani dhidi ya serikali. Angalia kifungu na. 13 cha sura ya 118 shiria za Tanzania.

Poa kiongozi
 
Back
Top Bottom