gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Ndugu wanajanvi naomba msaada kwa anaeifaham vizuri biashara ya mbao zakupaulia nyumba.
Naomba kufaham nitaifanyaje ili iweze kunilipa?
Mtaji wake ili niweze kuanza vizur nianze na Tsh ngapi?
Kwasasa nina mashine yakuranda pamoja na mashine yakupasulia mbao naamini hizi ni miongoni mwa nyenzo ambazo zinahitajika ili nipate kuanza biashara hiii.
Asanteni!
Naomba kufaham nitaifanyaje ili iweze kunilipa?
Mtaji wake ili niweze kuanza vizur nianze na Tsh ngapi?
Kwasasa nina mashine yakuranda pamoja na mashine yakupasulia mbao naamini hizi ni miongoni mwa nyenzo ambazo zinahitajika ili nipate kuanza biashara hiii.
Asanteni!