Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri,
Nielekee kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyo jieleza
Mimi natami kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa mizigo ndani ya nchi ila changamoto kubwa kwangu sina uzoefu wa hii kazi kwa mwenye uzoefu tafadhari
Nivitugani vya kuzingatia kabla na baada ya kuanza hii kazi, naami hapa jf nikama bahari nitangulize shukuran🙏🙏🙏
Nielekee kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyo jieleza
Mimi natami kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa mizigo ndani ya nchi ila changamoto kubwa kwangu sina uzoefu wa hii kazi kwa mwenye uzoefu tafadhari
Nivitugani vya kuzingatia kabla na baada ya kuanza hii kazi, naami hapa jf nikama bahari nitangulize shukuran🙏🙏🙏