komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,361
Wadau, nimepoteza kitambulisho changu cha utaifi, nimejaribu kufuatilia kwa ajili ya kupata kingine ila process yake ni ndefu na mm nakiitaji haraka kwa ajili ya kubadilisha passport kwa ajili ya safari ninayotarajia mwezi Agost. Nimejaribu ku download nakala ya kitambulisho online lakini inanigomea. Msaada tafadhari