Msaada kwa Nikki Mbishi

Msaada kwa Nikki Mbishi

Mwenye uwezo wa kumsaidia kimawazo Nikki Mbishi amsaidie naona sasa huyu kijana mwenzangu anapagawa.

Majuzi kati kwa maamuzi yake mwenywe bila shuruti alitangaza kuacha muziki,cha ajabu leo katoa nyimbo yake kule mkito halafu anaanza kulalamika inakuaje mtu una followers 5000 instagram na wanaonunua nyimbo wako 100.

Sijajua analalamika nini na muziki kaacha siku nyingi. Mimi nafikirI huyu kijana ana stress sana na muziki hajaacha huyu.


Inaezekana ulikurupuka au haukukurupuka..
Ila binafsi nadhani umekurupuka, mana mbishi alitoa kauli kwamba ataachia ngoma zake zote free ambazo bado hakuzitoa na ambazo alizitoa... Hiyo ngoma nadhan aliishaifanya ata kabla yakutangaza kuacha muzik.

They talk much but don't know a thing.
 
Kwa nini hawafanyi muziki unaotakiwa na soko kisha soko liliwakataa wanatoa lawama? Mimi mwanzoni nilifikiri wanafanya kwa ajili ya mitaa (watu wao).
 
Mwenye uwezo wa kumsaidia kimawazo Nikki Mbishi amsaidie naona sasa huyu kijana mwenzangu anapagawa.

Majuzi kati kwa maamuzi yake mwenywe bila shuruti alitangaza kuacha muziki,cha ajabu leo katoa nyimbo yake kule mkito halafu anaanza kulalamika inakuaje mtu una followers 5000 instagram na wanaonunua nyimbo wako 100.

Sijajua analalamika nini na muziki kaacha siku nyingi. Mimi nafikirI huyu kijana ana stress sana na muziki hajaacha huyu.

acha kuzungumzia usiyoyajua kijana muziki huujui.na Nikki sio cheap kama unavyojihadaa
 
Inaezekana ulikurupuka au haukukurupuka..
Ila binafsi nadhani umekurupuka, mana mbishi alitoa kauli kwamba ataachia ngoma zake zote free ambazo bado hakuzitoa na ambazo alizitoa... Hiyo ngoma nadhan aliishaifanya ata kabla yakutangaza kuacha muzik.

They talk much but don't know a

mm nafikir unajua kumbe na ww unadhania? hzo nymbo si atoe bure sasa kwanini anapeleka mkito halafu anaanza kulalamikia watu....nyie mnaojifanya shabik zake ndio mna mlostisha
 
Kwa nini hawafanyi muziki unaotakiwa na soko kisha soko liliwakataa wanatoa lawama? Mimi mwanzoni nilifikiri wanafanya kwa ajili ya mitaa (watu wao).

shangaa na ww
 
mm nafikir unajua kumbe na ww unadhania? hzo nymbo si atoe bure sasa kwanini anapeleka mkito halafu anaanza kulalamikia watu....nyie mnaojifanya shabik zake ndio mna mlostisha

Umenielewa nilicho maanisha ila now you're going out of topic, i have no time to argue with you.

Btw Mimi sio shabiki wa muziki..
 
Back
Top Bottom