Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
Mkuu binafsi nafanya online business. Nakuwekea yote ninayoyafanya kama utaweza jiongeza ukajifunza hata kimoja au kuhitaji chochote tunaweza wasiliana.
NB: Jitiada zako katika kuwa mbunifu upande wa kufanya matangazo ndiyo utakaokuletea wateja wengi zaidi.
Muhimu kufuatilia na kuwa na taarifa za kutosha ya shughuli husika, usije anza kufanya mteja akiuliza swali uanze kubabaika.
Naendesha maisha kwa hizo shughuli nikiwa na computer yangu na Internet, mpaka sasa ofisi ipo ila nilianzia ndani nikiwa ghetto.
Wish you all the best
Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
NB: Jitiada zako katika kuwa mbunifu upande wa kufanya matangazo ndiyo utakaokuletea wateja wengi zaidi.
Muhimu kufuatilia na kuwa na taarifa za kutosha ya shughuli husika, usije anza kufanya mteja akiuliza swali uanze kubabaika.
Naendesha maisha kwa hizo shughuli nikiwa na computer yangu na Internet, mpaka sasa ofisi ipo ila nilianzia ndani nikiwa ghetto.
Wish you all the best
Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app