Msaada: Kwa siku nina access na internet almost masaa 4, nisaidie jinsi ya kutumia internet kuingiza kipato

Msaada: Kwa siku nina access na internet almost masaa 4, nisaidie jinsi ya kutumia internet kuingiza kipato

Mkuu binafsi nafanya online business. Nakuwekea yote ninayoyafanya kama utaweza jiongeza ukajifunza hata kimoja au kuhitaji chochote tunaweza wasiliana.

NB: Jitiada zako katika kuwa mbunifu upande wa kufanya matangazo ndiyo utakaokuletea wateja wengi zaidi.

Muhimu kufuatilia na kuwa na taarifa za kutosha ya shughuli husika, usije anza kufanya mteja akiuliza swali uanze kubabaika.


Naendesha maisha kwa hizo shughuli nikiwa na computer yangu na Internet, mpaka sasa ofisi ipo ila nilianzia ndani nikiwa ghetto.

Wish you all the best
IMG_20200909_151641.jpg
IMG_20200910_173234.jpg
IMG_20200910_173210.jpg
IMG_20200910_173259.jpg
IMG_20200910_173342.jpg
IMG_20200910_173417.jpg


Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
 
Sema nini ma GB pekee yake hayatoshi inakuhitaji uwe na mtaji kidogo na input devices otherwise utaishia kusomea tu.
 
Mkuu binafsi nafanya online business. Nakuwekea yote ninayoyafanya kama utaweza jiongeza ukajifunza hata kimoja au kuhitaji chochote tunaweza wasiliana.

NB: Jitiada zako katika kuwa mbunifu upande wa kufanya matangazo ndiyo utakaokuletea wateja wengi zaidi.

Muhimu kufuatilia na kuwa na taarifa za kutosha ya shughuli husika, usije anza kufanya mteja akiuliza swali uanze kubabaika.


Naendesha maisha kwa hizo shughuli nikiwa na computer yangu na Internet, mpaka sasa ofisi ipo ila nilianzia ndani nikiwa ghetto.

Wish you all the best View attachment 1570423View attachment 1570424View attachment 1570425View attachment 1570426View attachment 1570427View attachment 1570428

Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
Mkuu tuongee hapo [emoji867] kwenye logo.
 
Back
Top Bottom