Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
Natumaini uko serious mkuu. I visited this website but naona matangazo tu. kama sijaelewa nielewesheIngia hapa www.exoticafrica.com thank me later
Kwa kuwa ni ndugu yako hebu muulizeSamahan mkuu kuna ndugu yangu yeye anafundisha online na anaingiza pesa sana,hv malipo yanakuwaje
This answer!Kwa kuwa ni ndugu yako hebu muulize
Toa mwongozo mkuu, huwezi jua labda naweza jitosa kulipia.Sema nini ma GB pekee yake hayatoshi inakuhitaji uwe na mtaji kidogo na input devices otherwise utaishia kusomea tu.
Watu kwa kujifariji bn [emoji23][emoji23][emoji23]Ni proffesional ngumu kuliko udaktari ambayo unatakiwa kuisomea miaka mitano
[emoji23][emoji23]Pesa ya online ngumu mkuu wee acha tu.[emoji3][emoji3]
Mkuu tuongee hapo [emoji867] kwenye logo.Mkuu binafsi nafanya online business. Nakuwekea yote ninayoyafanya kama utaweza jiongeza ukajifunza hata kimoja au kuhitaji chochote tunaweza wasiliana.
NB: Jitiada zako katika kuwa mbunifu upande wa kufanya matangazo ndiyo utakaokuletea wateja wengi zaidi.
Muhimu kufuatilia na kuwa na taarifa za kutosha ya shughuli husika, usije anza kufanya mteja akiuliza swali uanze kubabaika.
Naendesha maisha kwa hizo shughuli nikiwa na computer yangu na Internet, mpaka sasa ofisi ipo ila nilianzia ndani nikiwa ghetto.
Wish you all the best View attachment 1570423View attachment 1570424View attachment 1570425View attachment 1570426View attachment 1570427View attachment 1570428
Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
Utamu wa ngoma ingia uchezeWatu kwa kujifariji bn [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kuwa ni ndugu yako hebu muulize
Huwezi kufananisha kucheza huo upumbavu na udaktari, labda uwe mgonjwa wa akili.Utamu wa ngoma ingia ucheze
sawaHuwezi kufananisha kucheza huo upumbavu na udaktari, labda uwe mgonjwa wa akili.