Mbegu za kiume zina pande?
Mbegu za kiume zina pande?
Kuna rafiki yangu anatatizo,ktk mbegu zake za kiume kwa upande wa kushoto kuna uvimbe wa duara na ni uvimbe mgumu,una miaka miiwili sasa na mwenyewe anahistoria ya ngiri na choo hapati kigumu,najua si mahali pake ila naona hapa kuna watu iq zao ni kubwa mno,msaidien rafik yangu tafadhal na n guvu za kiume zimepungua