Ndgu wadau nahtaji kufanya biashara ya mchele kuuza kwa bei ya jumla hapa jijini MWANZA, nauliza kwa wenye uzoefu n chimbo gan ambalo naweza kuwa nakusanya mzigo kwa bei nzur ambayo itafanya nkiufikisha mjin niweze kuwa mshindani mzur wa bei katika soko??