MSAADA: KWA WAHAYA WANAWAJUA HAWA WANYAMA NDILILA

MSAADA: KWA WAHAYA WANAWAJUA HAWA WANYAMA NDILILA

Mbomozo

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2019
Posts
365
Reaction score
966
Habari za jioni wadau......
Anastahiki sifa njema muumba wa ardhi na mbingu. Pia kwa kuniwezesha kumalizia na kuhamia kwenye kibanda changu kipya namshukuru mungu kwa hilo , namuomba mungu ampe ambaye hajapata sehemu yake ya kujiegesha.. Amiin

Baada ya maamkizi nitaenda kwenye mada tangia nimehamia hapo maskani kuna wanyama kwa maelezo ya jiran yangu ambaye ni mhaya wanalia kwa kupokezana na sauti ni kubwa mno Kwa mfano naeza fananisha na Full volume ya boofer.
Yeye jirani anasema ni mnyama kwa lugha ya kihaya anaitwa NDILILA.
Na muda wao kulia huwa nafuatilia kila siku ni saa 4:30

SASA NAOMBA NISAIDIWE KITU KIMOJA HAWA WANYAMA WANAKAA WAPI? JE WANA MADHARA TOFAUTI NA MAKELELE AU WANATUMIWA NA WATURUTUMBI MAANA WAKIACHA TU KULIA UNASIKIA JUU BATI WATU WANAANZA KUSUMBUA... Je mwenye anawajua jina la Ndilila kiswahili ni mnyama gani......


NB:Aisee wanalia mpk wanaboa vibaya aisee
 
Habari za jioni wadau......
Anastahiki sifa njema muumba wa ardhi na mbingu. Pia kwa kuniwezesha kumalizia na kuhamia kwenye kibanda changu kipya namshukuru mungu kwa hilo , namuomba mungu ampe ambaye hajapata sehemu yake ya kujiegesha.. Amiin

Baada ya maamkizi nitaenda kwenye mada tangia nimehamia hapo maskani kuna wanyama kwa maelezo ya jiran yangu ambaye ni mhaya wanalia kwa kupokezana na sauti ni kubwa mno Kwa mfano naeza fananisha na Full volume ya boofer.
Yeye jirani anasema ni mnyama kwa lugha ya kihaya anaitwa NDILILA.
Na muda wao kulia huwa nafuatilia kila siku ni saa 4:30

SASA NAOMBA NISAIDIWE KITU KIMOJA HAWA WANYAMA WANAKAA WAPI? JE WANA MADHARA TOFAUTI NA MAKELELE AU WANATUMIWA NA WATURUTUMBI MAANA WAKIACHA TU KULIA UNASIKIA JUU BATI WATU WANAANZA KUSUMBUA... Je mwenye anawajua jina la Ndilila kiswahili ni mnyama gani......


NB:Aisee wanalia mpk wanaboa vibaya aisee

“WATURUTUMBI” [emoji1787][emoji23]
Nijuavyo mie hao NDILILA ni wadudu, wanapenda kuishi maeneo ya vichaka/mapori.. Na sauti zao zinakuwa kali sana.
 
Habari za jioni wadau......
Anastahiki sifa njema muumba wa ardhi na mbingu. Pia kwa kuniwezesha kumalizia na kuhamia kwenye kibanda changu kipya namshukuru mungu kwa hilo , namuomba mungu ampe ambaye hajapata sehemu yake ya kujiegesha.. Amiin

Baada ya maamkizi nitaenda kwenye mada tangia nimehamia hapo maskani kuna wanyama kwa maelezo ya jiran yangu ambaye ni mhaya wanalia kwa kupokezana na sauti ni kubwa mno Kwa mfano naeza fananisha na Full volume ya boofer.
Yeye jirani anasema ni mnyama kwa lugha ya kihaya anaitwa NDILILA.
Na muda wao kulia huwa nafuatilia kila siku ni saa 4:30

SASA NAOMBA NISAIDIWE KITU KIMOJA HAWA WANYAMA WANAKAA WAPI? JE WANA MADHARA TOFAUTI NA MAKELELE AU WANATUMIWA NA WATURUTUMBI MAANA WAKIACHA TU KULIA UNASIKIA JUU BATI WATU WANAANZA KUSUMBUA... Je mwenye anawajua jina la Ndilila kiswahili ni mnyama gani......


NB:Aisee wanalia mpk wanaboa vibaya aisee


Kwanini unashindwa ku deal nao??, mimi nyumbani kwangu siku moja katika majira ya kama saa 9 usiku alikuja ndege wa ajabu akatua juu ya mti mkavu uliokuwa jirani na nyumba na akaanza kulia sauti mbaya ya ajabu sana, niliamka na kufungua mlango taratibu hadi nje, nilipotoka nje tu akanyamaza, nikaokota jiwe kwani taa ya nje ilikuwa inaangaza vyema, nilipokuwa naangaza juu huo mti wala sikuona chochote kwa wakati huo, basi nakaamua kurusha lile jiwe hovyo kuelekea juu ya huo mti, loo, kumbe alikuwa kajibanza kwenye panda (katikati ya matawi) ya huo mti na aliruka zake, sijui alikuwa ni ndege wa aina gani !!!.

Hao wanyama wanaokusumbua deal nao kwa njia yoyote wala usihofu.--- wavurumishie mawe.
 
Angalia tu wasije wakakutoa ndagu watu wa kijiji wana chukia sana watu wanao jenga na kutangaza kwa majigambo

download.jpg
 
Kwanini unashindwa ku deal nao??, mimi nyumbani kwangu siku moja katika majira ya kama saa 9 usiku alikuja ndege wa ajabu akatua juu ya mti mkavu uliokuwa jirani na nyumba na akaanza kulia sauti mbaya ya ajabu sana, niliamka na kufungua mlango taratibu hadi nje, nilipotoka nje tu akanyamaza, nikaokota jiwe kwani taa ya nje ilikuwa inaangaza vyema, nilipokuwa naangaza juu huo mti wala sikuona chochote kwa wakati huo, basi nakaamua kurusha lile jiwe hovyo kuelekea juu ya huo mti, loo, kumbe alikuwa kajibanza kwenye panda (katikati ya matawi) ya huo mti na aliruka zake, sijui alikuwa ni ndege wa aina gani !!!.

Hao wanyama wanaokusumbua deal nao kwa njia yoyote wala usihofu.--- wavurumishie mawe.
Tatizo mimi sioni kitu maake ukitoka tu nje ule mlio Wa grill la getini wananyamaza na hawalii tena mpk kesho yake usiku muda Kama Huo. Laiti kama ningekuwa nawaona ningeshafanya juu chini niwaue maake sauti zao ni ajabu mnoo
 
“WATURUTUMBI” [emoji1787][emoji23]
Nijuavyo mie hao NDILILA ni wadudu, wanapenda kuishi maeneo ya vichaka/mapori.. Na sauti zao zinakuwa kali sana.
Sawa mkuu mitaa 100 hivi kutoka ninapoishi kuna mlima mkubwa na vichaka nadhani Kwa maelezo yako watakuwa wanatoka humo. Hofu ya waturutimbi naiondoka. Ila linabaki moja je hakuna dawa ya kuwauwa au nifanyeje maake nadhani wapo wengi hao maake wanapokezana kulia na wanatia hasira hatar
 
Usiogope mkuu ni wanyama wa kawaida tuu
Nashukuru mkuu ila kelele zao wakianza kulia kama wako ndani ya house huwezi kufanya lolote na wanalia zaidi ya lisaa lizima duuuh mungu nisaidie
 
Nilishawahi kuishi nyumba mpya iliyokuwa nje ya mji kidogo,, wakati huo tulikuwa ndo waanzilishi kujenga eneo Hilo, nakumbuka bundi walikuwa wakija hata watano, kwenye kona za nyumba, wanaanza kulia kwa kupokezana na hiyo inakuwa Ni saa moja tu, nilikuwa naogopa Sana, siku ingine nakuta wamekufa kwa kujipigaa kwenye vioo vya madirisha na kudumbukia kisimani, hiyo Ni usiku, mchana penyewe ilikuwa kukutana na majoka, joka joka kweli, kumbe nyumba tulijenga ktk njia yao ya kushuka mtoni kunywa maji,,,

Ilituchukua miaka 2 hiyo hali kuisha,, na majirani walipoongezeka ikasaidia sana kilichobaki ni ngedere tu,,

Kwahiyo Ni kawaida vumilia ni maeneo yao hayo ila wataondoka tu
 
Nilishawahi kuishi nyumba mpya iliyokuwa nje ya mji kidogo,, wakati huo tulikuwa ndo waanzilishi kujenga eneo Hilo, nakumbuka bundi walikuwa wakija hata watano, kwenye kona za nyumba, wanaanza kulia kwa kupokezana na hiyo inakuwa Ni saa moja tu, nilikuwa naogopa Sana, siku ingine nakuta wamekufa kwa kujipigaa kwenye vioo vya madirisha na kudumbukia kisimani, hiyo Ni usiku, mchana penyewe ilikuwa kukutana na majoka, joka joka kweli, kumbe nyumba tulijenga ktk njia yao ya kushuka mtoni kunywa maji,,,

Ilituchukua miaka 2 hiyo hali kuisha,, na majirani walipoongezeka ikasaidia sana kilichobaki ni ngedere tu,,

Kwahiyo Ni kawaida vumilia ni maeneo yao hayo ila wataondoka tu
Poa poa mkuu kikubwa subra nitajitahidi
 
Back
Top Bottom