MSAADA: KWA WAHAYA WANAWAJUA HAWA WANYAMA NDILILA

MSAADA: KWA WAHAYA WANAWAJUA HAWA WANYAMA NDILILA

Sawa mkuu mitaa 100 hivi kutoka ninapoishi kuna mlima mkubwa na vichaka nadhani Kwa maelezo yako watakuwa wanatoka humo. Hofu ya waturutimbi naiondoka. Ila linabaki moja je hakuna dawa ya kuwauwa au nifanyeje maake nadhani wapo wengi hao maake wanapokezana kulia na wanatia hasira hatar

Mkuu wewe ndo umewafuata katika makazi yao, kwanini uwaue?
 
Mkuu wewe ndo umewafuata katika makazi yao, kwanini uwaue?
Dah nadhani ila sehemu niliyopo nilinunua tambalale na hamna mapangi wa mashimo ila nyuma yangu kama mita 100 hivi kuna mlima sasa hapo nimewafuataje kwenye makazi yao
 
Aki nlihis n jina la mtu "Hawa Wanyama Ndilali", daah! Ngoja waje kukupa muongozo......
 
Kwanza ondoa fikra za ushirikina. Hao wanyama hawana uhusiano na mambo ya giza hata kidogo, na ni kweli kuwa mida hiyo ya usiku uliyotaja ndiyo husikika wakitoa sauti zao. Hawana madhara hata chembe. Fanya kazi zako bila wasiwasi, wewe unapoishi ni karibu na makazi yao na sio kwamba wao wamekufuata wewe. Unaposali muombe Mungu wako mambo mengine na sio kukuondolea hao wanyama, utakuwa unamjaribu Mungu wako bure.
 
Kwanza ondoa fikra za ushirikina. Hao wanyama hawana uhusiano na mambo ya giza hata kidogo, na ni kweli kuwa mida hiyo ya usiku uliyotaja ndiyo husikika wakitoa sauti zao. Hawana madhara hata chembe. Fanya kazi zako bila wasiwasi, wewe unapoishi ni karibu na makazi yao na sio kwamba wao wamekufuata wewe. Unaposali muombe Mungu wako mambo mengine na sio kukuondolea hao wanyama, utakuwa unamjaribu Mungu wako bure.
Sawa mkuu kwa ushauri nitafanyia kazi hofu sasa imeshuka nitaendelea with my normal life
 
Huyo ni Galago kwa kingereza ama bush baby.Pwani amezoeleka kwa jina la Komba anakunywa sana pombe ya mnazi.
 
Kama ni komba hao hawana shida wala usiogope sema tu labda hizo kelele ndio zitakuwa kero hapo

Na komba mchana huwa hawaoni vizuri usiku ndio wanaona sana na ndio mda wanajitafutia chakula, kukipambazuka tu wanatulia maana macho yao yanakuwa dhaifu
 
Kama ni komba hao hawana shida wala usiogope sema tu labda hizo kelele ndio zitakuwa kero hapo

Na komba mchana huwa hawaoni vizuri usiku ndio wanaona sana na ndio mda wanajitafutia chakula, kukipambazuka tu wanatulia maana macho yao yanakuwa dhaifu
Shukran sasa mkuu nimewaelewa sasa hawa wanyama sidhani kama nitababaika tena
 
Back
Top Bottom