Peaceful Warrior
Senior Member
- May 28, 2013
- 125
- 28
km umepata meals n accomodation frm heslb then hostels hulipii..af ni vizuri ukalipa kila moja kwny pay sleep yake..yaan health fee.coution.muso etc kla moja kwny pay slip yake ili kupunguza usumbusu siku ya registration.
juliet kwan ukilpa kwenye slip 1 itakuaje? Afu kama una bima medical fee unalipa 30 elfu?
katika page ya kwanza na ya tano za joining kuna ac no za mzumbe mbeya,sa ipi ni sahihi?