Peaceful Warrior
Senior Member
- May 28, 2013
- 125
- 28
NI HIVI KUHUSU MALIPO.
Jinsi gani ya kulipia hela kule kwa sababu hawajatoa ufafanuzi, hivyo zote unalipia kwenye bank slip moja au unatenganisha? Ile pesa ya loan meals and accmodation inahusisha na ada ya hostel au hostel tunalipia wenyewe ? Halafu cha mwisho ni kuhusu direct cost zinalipiwaje? Naombeni msaada ili kesho niende nikalipie.
Jinsi gani ya kulipia hela kule kwa sababu hawajatoa ufafanuzi, hivyo zote unalipia kwenye bank slip moja au unatenganisha? Ile pesa ya loan meals and accmodation inahusisha na ada ya hostel au hostel tunalipia wenyewe ? Halafu cha mwisho ni kuhusu direct cost zinalipiwaje? Naombeni msaada ili kesho niende nikalipie.