Kimaadili ni safi mkioana wote bikira..kwaupande mwingine wewe umeshachakachua na unawaza kama huyu ambaye bado hujafanya nae mambo anayaweza kama yule?Jamaninaomba kujuzwa, kuna tofauti gani ya kimaisha na kimaadili kati ya mke ambaeunamuoa wakati umeshafanya nae mapenzi ama alikua mpenzi wako kwa miaka kadhaahuko nyuma na mwanamke ambaye hujafanya nae mapenzi ambae umevumilia nakusubiri mpaka siku ya ndoa yaani siku ya honeymoon ndo mnaanza kufanyamapenzi?
Mambo magumu sana haya, hay a ban a endeleeni kujadili.