Kama ni mtu mwenye professional basi utalipwa Kwa installment miezi 6,
Watakupa 33% ya salary uliyokuwa unalipwa mwisho.
Baada ya hzo installment 6 utasibiri Kwa miezi 18 Kama utakuwa bado haujapata kazi ndio utaruhusiwa kufungua madai ambapo utalipwa Pesa zako zote.
Kwa wasio skilled hao wanalipwa Pesa zao zote Kwa mkupuo mmoja.
Watakupa 33% ya salary uliyokuwa unalipwa mwisho.
Baada ya hzo installment 6 utasibiri Kwa miezi 18 Kama utakuwa bado haujapata kazi ndio utaruhusiwa kufungua madai ambapo utalipwa Pesa zako zote.
Kwa wasio skilled hao wanalipwa Pesa zao zote Kwa mkupuo mmoja.