Msaada kwa waliochukua malipo ya NSSF hivi karibuni

unakuta wewe ni prof umeingia kazini na non prof.ila jamaa ambae ni non prof akawa analipwa mzigo mkubwa labda kazi yake ni fundi au operator anatumia nguvu nyingi ,at end anatoka na mzigo mkubwa NSSF tena yote .wewe na prof yako unapewa 33% kwa installment
 
Nilirudisha fomu tarehe 28 April juzi 12 may wakaingiza pesa sawa na mshahara wa mwezi mmoja,nimeenda kuulizia Leo wananiambia kuna shida ya mtandao.Mpaka Sasa sijaelewa wamelipa kitu gani.
 
Acha hearsay ,usidanganye watu.
 
Toa pesa upate pesa
 
Uko sahihi kabisa....! Na pale sio kiwa ukishapeleka form zako tu basi unapewa next week pana madai mengi tu, watu wanaanza kuchukua pesa wale ww mwanzo kabisa then wanakuja wengine kutegemea na ulileta lini? Haiwezekani wewe wa mwezi wa 5 ukachukua wkt kuna mtu alileta mwezi wa 2.

Lingine kuna mlolongo mwingi sana mpaka uchukue mzigo,stages of verification za kutosha.

Hata ukiwa unprofessional usidhani utakuwa peke yako, sasa usiombe mwajiri wako awe hajapeleka mchango hata mwezi mmoja...basi ili hesabu ziende sawa lazima alete mshiko...sasa kampuni iwe ilishakufa utaomba pooo.

Tumtakie kila la kheri ila pesa ipo cha msingi kila baada ya week 2 tia team tia pressure.

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
 
Funguwa, Nssf ni mfuko wa private sector.

Ajira yako serikalini haina uhusiano na Nssf na hawana uwezo wa kujuwa hilo, chukuwa pesa yako hata kama itachelewa funguwa madai.
Ukishasema unafanya kazi serikalini au popote sahau kuhusu hayo mafao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…