Muda au kipindi gani nauli ya ndege inakuwa bei nafuu kuja USA,
Mji au STATE gani ni nzuri kuhamia na kufanya kazi(yoyote) Kuosha wazee , kuosha vyombo, udereva, na kazi kama hizo,
Nipo serious,
Nyumba au sehemu ya kuishi mimi na mke inasnzia $ ngapi, kwa anayejitafuta kama mimi,
Umri wangu ni mtu wa makamu,
Kiasi cha chini kabisa cha pesa ya kuanzia maisha huko ni kama $ mgapi,
Nawasilisha. Nipo tayari kuondoka kuanzia September
Nisaidieni
Kiasi cha & kuanzia maisha , namaanisha mpaka nipate kazi huko,
Je kuna Mtanzania yoyote yupo tayari kushare na mimi nyumba kwa muda, lakini nitakuwa namlipa ? Mpaka nitakapopata kwangu,
Mji au STATE gani ni nzuri kuhamia na kufanya kazi(yoyote) Kuosha wazee , kuosha vyombo, udereva, na kazi kama hizo,
Nipo serious,
Nyumba au sehemu ya kuishi mimi na mke inasnzia $ ngapi, kwa anayejitafuta kama mimi,
Umri wangu ni mtu wa makamu,
Kiasi cha chini kabisa cha pesa ya kuanzia maisha huko ni kama $ mgapi,
Nawasilisha. Nipo tayari kuondoka kuanzia September
Nisaidieni
Kiasi cha & kuanzia maisha , namaanisha mpaka nipate kazi huko,
Je kuna Mtanzania yoyote yupo tayari kushare na mimi nyumba kwa muda, lakini nitakuwa namlipa ? Mpaka nitakapopata kwangu,