Msaada kwa wanaojua Kijitonyama Social Work Institute.

dada jane

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
565
Reaction score
118
Kuna jirani yangu ana mtoto amechaguliwa kwenda huko. Mwenye A B C za huko please.
 
akajiandae jioni kuwa anaonekana mitaa ya sinza makaburini
 
A: ajiandae kusoma kwa makini, kazi nje nje! B: Asikubali kutumika kwa wajanja wachache C: Asipende kuiga saaana, kifupi jirani yako asikaze sana, ampe pesa ya matumizi kumlinda na tabia chafu za vijana wengi wa vyuo.
 
aisee hicho chuo ni kizuri ,,,mimi mwenyewe degree yangu ya kwanza nilisoma hapo,,,,,na its one of the best institutes offers social work in africa
 
sawa ajiandae jioni kuwa anaenda kuuza sura mwenge,
I smell kaukorofi ndani yako. Any way may be hiyo ni A na B C je? Hata hivyo nashukuru kwa hiyo tahadhari. Ubarikiwe.
 
A: ajiandae kusoma kwa makini, kazi nje nje! B: Asikubali kutumika kwa wajanja wachache C: Asipende kuiga saaana, kifupi jirani yako asikaze sana, ampe pesa ya matumizi kumlinda na tabia chafu za vijana wengi wa vyuo.
Asante sana mkuu. Mungu akubariki.
 
aisee hicho chuo ni kizuri ,,,mimi mwenyewe degree yangu ya kwanza nilisoma hapo,,,,,na its one of the best institutes offers social work in africa
Shukurani mkuu. Samahani Naomba nikupm
 
as far as I know pale kuna three courses; Social Work, Human Resources Management and Industrial Relations/Labour studies.
ni chuo kizuri na mwanafunzi akiwatumia vizuri walimu wake (please take a positive meaning) atajenga uelewa mzuri (kama atafanya bidii). vilevile kuna msisitizo mkubwa wa field work so student akiwa makini anajenga uwezo kivitendo vilevile.

siwezi kuacha kukueleza hili; kama mhusika ni mtoto wa kike please please awe muangalifu sana. huyo jirani yako ajitahidi kumpa mahitaji yake muhimu...ampe lecture ya kuepukana na tamaa coz asipoishinda hiyo, hali haitakuwa nzuri kwakweli.

kila la kheri
 
Shukrani sana mkuu na ubarikiwe. Yeye kapata Industriak Relations sijui ni nzuri.
 
Na mimi nimepata nafasi hapo nipe namba yake awe rafik yangu
 
Vijana wa sasa mnawaza mapenziiiiiiiiiiiiiiii
 
Shukrani sana mkuu na ubarikiwe. Yeye kapata Industriak Relations sijui ni nzuri.

well ni nzuri. akifanikiwa kumaliza hiyo vyema, atakuwa mtaalam wa sheria za kazi, work relations, mediation and arbitration na masuala ya jinsi hiyo. hapo zamani course ilifahamika kama Labour Studies. atulize tu kichwa ipo vizuri.
 
well ni nzuri. akifanikiwa kumaliza hiyo vyema, atakuwa mtaalam wa sheria za kazi, work relations, mediation and arbitration na masuala ya jinsi hiyo. hapo zamani course ilifahamika kama Labour Studies. atulize tu kichwa ipo vizuri.
Thanks mkuu. Kumbe Tanzania bado mpo watu wenye roho nzuri ya kuelimisha wengine nilishakajikatia tamaa ndani ya nchi yangu. Lililobaki ni kumfunda tu binti maana ndoto yake ni kufika mbali. Ubarikiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…