Msaada kwa wanaojua Kijitonyama Social Work Institute.

Msaada kwa wanaojua Kijitonyama Social Work Institute.

Nipe Jina lake nataka niMBETO 0713......plz nipe namba yake,au hata yako i wanna CKFU you good
fikiria sana uhusiano wako na wenzako na uhusiano wako na mola!!! sidhani kama GT anaweza mtamkia mwenzake maneno kama hayo...una uhuru ila uhuru usikuponze!!
 
fikiria sana uhusiano wako na wenzako na uhusiano wako na mola!!! sidhani kama GT anaweza mtamkia mwenzake maneno kama hayo...una uhuru ila uhuru usikuponze!!

Samahani sana LORDVILLE,mtoa mada na wadau wote,,mimi Mbwiga88 natake responsibility kwa yote yaliyotokea,kilichotokea nikwamba sikulogout JF and kuna mtu asiyekuwa mwaminifu hapa kazin kwangu akapost ule uchafu,im sorry, nawasilisha
 
Thanks mkuu. Kumbe Tanzania bado mpo watu wenye roho nzuri ya kuelimisha wengine nilishakajikatia tamaa ndani ya nchi yangu. Lililobaki ni kumfunda tu binti maana ndoto yake ni kufika mbali. Ubarikiwe.
..with pleasure dada...u r very much welcomed
 
Back
Top Bottom