MSAADA KWA WANAOSOMA CONAS UDSM, Bsc in Wildlife science and Conservation

MSAADA KWA WANAOSOMA CONAS UDSM, Bsc in Wildlife science and Conservation

Joined
Aug 29, 2012
Posts
47
Reaction score
28
Nahitaji kujua kuhusiana na nini kinahitajika haswa katika swala la msuli coz huwa naskia tetesi za welcom paper ambalo watu huishia kupata negative, 4, 0.5,0. please naomba msaada wa nini nifanye kabla cjakutwa na hayo ya negative na mengine. cna ufahamu wowote kuhusiana na faculty hiyo xo kama kuna mtu anaweza kunifahamisha basi itakuwa vyema. I TRUST IN GOD.:flypig:
 
mwenyewe nimechaguliwa hyo coz hapo udsm bt nackia huwez kujiajiri na ajira zake cku hz ni kujuana,ikitokea ukakosa inabidi usugue benchi,mm naenda diploma pale muhimbili,zaidi sana nakushauri usomee fani ambayo una vision nayo japo mwendo ni mrefu
 
Hamna shida mambo fresh! lakn kama umekuja kwa kubadisha disco nje-nje mkubwa!
 
mwenyewe nimechaguliwa hyo coz hapo udsm bt nackia huwez kujiajiri na ajira zake cku hz ni kujuana,ikitokea ukakosa inabidi usugue benchi,mm naenda diploma pale muhimbili,zaidi sana nakushauri usomee fani ambayo una vision nayo japo mwendo ni mrefu

mkuu,, umepata mkopo?
 
Back
Top Bottom