Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,346
- 1,221
Habari za uzima wapendwa, natumai mko poa japo changamoto hazikosekani hiyo ni sehemu ya maisha.
Maada yangu inahusu changamoto ya WhatsApp,katika kutuma audio kwa mtu,, kuna audio ambazo nilimtumia mtu zikagoma kuna maneno haya hapa chini inaandika na mimi sijajua tatizo ni nini,,kuna audio ilikuwa na mb 4.0 niliituma ikakubali lakini nikajaribu yenye mb 8.4 ikagoma msaada tafadhali wana jukwaa.
Can't send this media,Choice different media and try again.
Muwe na siku njema katika Bwana.
Maada yangu inahusu changamoto ya WhatsApp,katika kutuma audio kwa mtu,, kuna audio ambazo nilimtumia mtu zikagoma kuna maneno haya hapa chini inaandika na mimi sijajua tatizo ni nini,,kuna audio ilikuwa na mb 4.0 niliituma ikakubali lakini nikajaribu yenye mb 8.4 ikagoma msaada tafadhali wana jukwaa.
Can't send this media,Choice different media and try again.
Muwe na siku njema katika Bwana.