Msaada kwa wataalam wa kukokotoa gharama za magari TRA kutoka japani

bushman

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,412
Reaction score
747
Wadau poleni na majukumu,naomba msaada wa kiuelewa ndugu zangu nimejalibu kuingia website ya be foward nimeona magari mbalimbali sasa nikawa nataka nichukue suzuki swift ya mwaka 2003 kwa sababu ndio ntaweza kuiweka barabarani daily na mpunga nilionao saizi mfukoni ni 6million.hiyo gari CIF ni USD 1996=TSH 3,309,368. ninahitaji BEI gani mpaka gari iwe mikononi mwangu wakuu.?nimeingia website ya TRA nimeshindwa kuelewa hesabu zao.Naomba msaada.
 
Wadau poleni na majukumu,naomba msaada wa kiuelewa ndugu zangu nimejalibu kuingia website ya be foward nimeona magari mbalimbali sasa nikawa nataka nichukue suzuki swift ya mwaka 2003 kwa sababu ndio ntaweza kuiweka barabarani daily na mpunga nilionao saizi mfukoni ni 6million.hiyo gari CIF ni USD 1996=TSH 3,309,368. ninahitaji BEI gani mpaka gari iwe mikononi mwangu wakuu.?nimeingia website ya TRA nimeshindwa kuelewa hesabu zao.Naomba msaada.
 

Umeshindwa kuelewa hesabu zipi TRA, hebu kwanza tuanzie hapo
 
Mkuu jipe mda tu kidogo kusoma ile calculator yao. Hiyo bei yako hapo haina kazi, wana bei zao kule.
 
Haitoshi, ushuru + uchakavu? Bado watakuambia market price kwa TZ ni USD 2996. Walau weka pembeni vi mil 2, just in case.
 
haitoshi, ushuru + uchakavu? Bado watakuambia market price kwa tz ni usd 2996. Walau weka pembeni vi mil 2, just in case.

kongosho nakushukuru mkuu walau umeanza kunipa mwanga kwa ufafanuzi huu.
 
Umeshindwa kuelewa hesabu zipi TRA, hebu kwanza tuanzie hapo

MKUU TYPICAL,NILICHOSHINDWA NI NAMNA YA UKOKOTOAJI WA HIZO KODI,KIMSINGI KIASI GANI CHA PESA NAHITAJI KUTOKA KWENYE HIYO YA CIF ambayo ni USD 1996=TSH 3,309,368. ILI HIYO GARI IWE ON THE ROAD?
 
mil 6 nunua gari hapa hapa bongo na unapata ikiwa safi kabisa na namba b au c, tembea tembea sn mjini hapa, kila kitu safi.
 
mil 6 nunua gari hapa hapa bongo na unapata ikiwa safi kabisa na namba b au c, tembea tembea sn mjini hapa, kila kitu safi.

mkuu nimekusoma sana,noted with regards!!!!!!!!!!
 
nimeshamaliza mkuu,ndio maana natafuta gari nitakayoimudu mzee kuanzia service mpaka fuel.

mkuu ingia kwenye website yao kisha chagua mwaka wa uchakavu then angalia engine capacity kuna dolla kama 22823 ukiingiza kwenye calculator depreciation wea 80% utapata kiasi cha kodi mkuu! Hongera kwa kumiliki gari, karibu sana
 
mkuu ingia kwenye website yao kisha chagua mwaka wa uchakavu then angalia engine capacity kuna dolla kama 22823 ukiingiza kwenye calculator depreciation wea 80% utapata kiasi cha kodi mkuu! Hongera kwa kumiliki gari, karibu sana

ahsante mkuu,tupo pamoja!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…