mnyalukoloh
Member
- Jun 8, 2015
- 74
- 31
Nawasalim Kwa Imani Zenu
Kwa wenye uzoefu wa masomo ya sayansi msaada wenu tafadhari
Mi ni Mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB na ufaulu wangu ni div three ya point 13.Ph.D,che Na Bio C
Ndoto zangu zilikuwa ni kupiga Md.
Kutokana na matokeo yangu nimeamua kupendekeza Vyuo vifwatavyo kwa Md
1.Archbishop
2.Kailuki
3.IMTU
4*...........
5*...........
Karibu Ndugu zangu mnishauri kwa kozi nilizo pendekeza.
Pia mnisaidie kuweka kozi zingine nje na Education ambazo ni nzuri zaid kwa PCB.Kabla sijaanza kuomba vyuo
Natanguliza Shukurani.
Ahsante!
Kwa wenye uzoefu wa masomo ya sayansi msaada wenu tafadhari
Mi ni Mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB na ufaulu wangu ni div three ya point 13.Ph.D,che Na Bio C
Ndoto zangu zilikuwa ni kupiga Md.
Kutokana na matokeo yangu nimeamua kupendekeza Vyuo vifwatavyo kwa Md
1.Archbishop
2.Kailuki
3.IMTU
4*...........
5*...........
Karibu Ndugu zangu mnishauri kwa kozi nilizo pendekeza.
Pia mnisaidie kuweka kozi zingine nje na Education ambazo ni nzuri zaid kwa PCB.Kabla sijaanza kuomba vyuo
Natanguliza Shukurani.
Ahsante!