Naomba kujua mzunguko wa hedhi kama n mrefu au mfupi KWA mfano anaingia last three month katika tarehe hii mwez wa nne tarehe15, mwez wa tano tarehe13, mwez wa Sita tarehe10 na Mwez wa Saba tarehe14 ....then Baada ya hapo naomba kujua siku zake za hatari n zp
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi zangu sizijuagi maana huwa sijapata sababu ya kuzihesabu labda nikiolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo basi nikuoe.Mi zangu sizijuagi maana huwa sijapata sababu ya kuzihesabu labda nikiolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote hizo anaingia p. Hajui mzunguko wake ni mrefu au mfupi.
Au una date standard 4
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Nimeshampa jibu Lakini.Mtu kaomba msaada jamani
Mmmh so unapo ambiwa msaada wakimbilia mimba I don't think kama kweli umetmia ontological concepts kujb kilichoandkwa ....but sorry[emoji26] [emoji26] [emoji26]Nimeshampa jibu Lakini.
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]