Naomba kujua mzunguko wa hedhi kama n mrefu au mfupi Kwan anaingia last three month katika tarehe hii mwez wa nne tarehe15, mwez wa tano tarehe13, mwez wa Sita tarehe10 na Mwez wa Saba tarehe14 ....then Baada ya hapo naomba kujua siku zake za hatari n zp
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app