Msaada kwa wazoefu wa biashara ya maziwa fresh tafadhali

Msaada kwa wazoefu wa biashara ya maziwa fresh tafadhali

Mkuu unaonaje ukajipanga ufuge ng'ombe wa maziwa mwenyewe maadam soko unalo na vitendea kazi pia vipo.
Ikiwezekana unakochukua kama ni mbali na maziwa upatikanaji wake ni uhakika ufanye utaratibu kupata kichumba cha kukusanyia maziwa na kuyahifadhi/kipoozeo ili uweze kuwafikishia wateja wako bidhaa bora na kuongeza wigo mpana zaidi kuliko kupata hasara ya kufidia kila wakati
Hilo ndilo wazo langu
 
Nimekuwa nikifanya biashara ya kuuza maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji,
Changamoto inayonipata n kwamba maziwa yanatoka mbali kidogo ya mji sasa wakat mwingine yanakatika yanapokuwa sokoni
NB maziwa yanakamuliwa asubuh na kuchemshwa kisha nnayaweka kwenye freezer had kesho yake asubuh ndo nayapeleka sokoni.
Sasa wakat mwingine inabid kuwafidia wteja wangu maziwa pale yanapokuwa yamekatika.
Jee nitumie njia ngan ili yawe salama mda wote??, kwa wanaojua biashara hii msaada tafadhali..
Mimi mtaalam wa dairy science and technology nakupa maelezo Kwa ufupi baadae saiz npo busy kidogo. Ila kwa hao wateja wako unaochukua maziwa mazingira Yao ya kukamilia ni masafi kiasi gani, vyombo wanavyokamulia je ni visafi kiasi gani, vyombo unavyosafirishia pia, pia kitu kingine huwa unayapima hayo maziwa ukishayachukua Kwa wateja wako. Maziwa yanahitaji usafi wa Hali ya juu. Kwa ufupi tuu ni hayo maelezo
 
Hutakiwi kuchemsha maziwa kiongozi kwa kufanya hivyo unaharakisha uharibikaji hata kama utaweka katika freezer. Nina kaexpiriensi kadogo juu ya hili.
 
Back
Top Bottom