Msaada kwa wenye magari, unaponunua gari ukipitia bandarini wakatwa shilingi ngapi?

Msaada kwa wenye magari, unaponunua gari ukipitia bandarini wakatwa shilingi ngapi?

Naomba kufahamu..kuna jamaa yangu aliniambia kuwa watumishi wa serikali wakiagiza magari nje ya nchi hawatalipa ushuru bandarini maana wao wanalipa kodi ya moja kwa moja ktk mishahara yao je ni kweli?
Kimsingi, mtumishi wa umma anapoagiza gari yenye miaka kumi (10) au pungufu ya yapo, kwa mujibu wa sheria husamehewa 25% ushuru wa forodha (Import Duty)
Naomba kufahamu..kuna jamaa yangu aliniambia kuwa watumishi wa serikali wakiagiza magari nje ya nchi hawatalipa ushuru bandarini maana wao wanalipa kodi ya moja kwa moja ktk mishahara yao je ni kweli?
Kimsingi mtumishi wa umma anapoagiza gari lenye miaka 10 au pungufu ya hapo, kwa mujibu wa sheria husamehewa 25% ya ushuru wa forodha (Import Duty) na 5% mpaka 10% ya ushuru wa bidhaa (Excise Duty). Gari husika sharti liwe na ukubwa wa engine usio zidi cc 3,000.
Na lengo kubwa ya msamaha huu ni kumsaidia mtumishi kupata chombo cha usafiri kwa gharama nafuu.
 
Back
Top Bottom