Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kikeNdugu zangu nataka kununua Nissan x-trail ila sina uzoefu na gari hizi, naomba mwenye uzoefu nazo anipe ABC zake, je nini matatizo makubwa hasa ya gari hizi? consumption yake ya mafuta ikoje?
Msiwe mnakariri amekwambia yuko tz ???Usinunue yenye trubo.otherwise ni gari tamu kwa kweli.ukiwa na safari ya mbali ndiyo utaipenda zaidi
consumption iko reasonable.spares ziko kibao ilala.bei kawaida kabisa.
Salaam,Ndugu zangu nataka kununua Nissan x-trail ila sina uzoefu na gari hizi, naomba mwenye uzoefu nazo anipe ABC zake, je nini matatizo makubwa hasa ya gari hizi? consumption yake ya mafuta ikoje?
Cjawai ckia accident ya gar aina ya xtrail hpa bongo. Alteza ndzo znaongoza kwa vifoyale toleo la mwanzo stability mbovu sana labda upate new model wameyachora vizuri ile model ya mwanzo ukilala nayo kwenye kona hata na 60 inaweza kukuua
2001 ikoje mkuu?Salaam,
Unahitaji kujua kuhusu Nissan x-trail ya mwaka gani.?!
As a car dealer, ushaur wangu naweza kukupa kulingana na mwaka husika wa gari sababu hua zinatofautiana sifa kukingana na mwaka.
ha ha ha ha ha ha kuna mshkaji ofisini imemuua sema siwezi sema ofisi ganiCjawai ckia accident ya gar aina ya xtrail hpa bongo. Alteza ndzo znaongoza kwa vifo
Sasa mmoja akishapata ajali gari zimekua ndizo sababu? Au ni sababu unamjua?ha ha ha ha ha ha kuna mshkaji ofisini imemuua sema siwezi sema ofisi gani
we si umesema extrail haina ajali na tatizo lililomuua jamaa ni stability alilala nayo ikakataaSasa mmoja akishapata ajali gari zimekua ndizo sababu? Au ni sababu unamjua?
Ni kwa 7b wanaopenda alteza akili zipo mbele dk kadhaa, na wanazipendea kukimbiaCjawai ckia accident ya gar aina ya xtrail hpa bongo. Alteza ndzo znaongoza kwa vifo