vitu vidogo hivyo, usijali. Mbona na wewe una tatizo hilo hilo ila hujijui tu?Nimepata mdada wa kazi kwang, nimchapakazi sana, msafi na mwang umpenda sanaaa kwa ufupi anasifa nzuri.
But anatatizo moja tu, kinywa chake ( mdomo) Unanuka harufu kali mara kwa mara pindi hakiongea tuuu
Je wakuu nitumie nini tatizo hili liishe au dawa gani?
ASANTE.
mpeleke hospitali MkuuNimepata mdada wa kazi kwang, nimchapakazi sana, msafi na mwang umpenda sanaaa kwa ufupi anasifa nzuri.
But anatatizo moja tu, kinywa chake ( mdomo) Unanuka harufu kali mara kwa mara pindi hakiongea tuuu
Je wakuu nitumie nini tatizo hili liishe au dawa gani?
ASANTE.
chukuwa tulatula (ndulele) nne zikatekete weka mafuta ya taa vijiko viwili na kamulia limao au ndimu chemsha na maji glass mbili kisha awe anasukutua asubuhi na jioni itamsaidia sana ni kweli na hakika.harufu itaisha kabisa.kila la kher.i
Asante mkuu kwa majibu yako.
chukuwa tulatula (ndulele) nne zikatekete weka mafuta ya taa vijiko viwili na kamulia limao au ndimu chemsha na maji glass mbili kisha awe anasukutua asubuhi na jioni itamsaidia sana ni kweli na hakika.harufu itaisha kabisa.kila la kher.i
Nimepata mdada wa kazi kwang, nimchapakazi sana, msafi na mwang umpenda sanaaa kwa ufupi anasifa nzuri.
But anatatizo moja tu, kinywa chake ( mdomo) Unanuka harufu kali mara kwa mara pindi hakiongea tuuu
Je wakuu nitumie nini tatizo hili liishe au dawa gani?
ASANTE.