Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Ahsante kiongozi na je kumpa mseto wako sahihi?Iko hv mtu anapopatwa na maradhi au ugojwa kadiri unavyo kuwa ndivyo unavyozidi kuathiri viungo SO kwa huyo mgojwa wako huwenda kapata Complication kutokana na hyo malaria mpka ikampelekea kumuathiri mifupa ndio maana wakakwambia ana malaria ya Mifupa
Ikiwa wamepima nakukuta hvyo vimelea vya malaria YES wapo sahihi kumpa hzo Alu/msetoAhsante kiongozi na je kumpa mseto wako sahihi?
blame no body