Msaada kwenye kesi yangu ya Madai

Msaada kwenye kesi yangu ya Madai

U
Habari za leo ndugu zangu,

Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.

Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.

Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.

Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?

Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.

Nawasilisha.
Je. Polisi ulienda pia
 
Hupaswi kuwa na presha kuhusu hilo,
Kukazia hukumu pakikamilika tafuta dalali wa mahakama, tafuteni vitu vyake, tangazeni kwenye gazeti mmpe siku 14, zikiisha madalali wafanye kazi yao.
Kama hana kitu ingia gharama mfunge hata siku 100 tu hakika atakulipa na gharama zote zilizotumika
Hivi mfano baada ya kulipa gharama zako au kama ana nyumba kuiuza,ukitaka kupata hela yako uliyotumia inakuwa tena process za kufungua mahakamni??
 
Hivi mfano baada ya kulipa gharama zako au kama ana nyumba kuiuza,ukitaka kupata hela yako uliyotumia inakuwa tena process za kufungua mahakamni??
Inanipasa nijue mali zake,ila sizijui ndio shida.
 
Unasemaje umeshinda kesi ili hali hauna nakala ya hukumu Mkuu?.

Tuachane na hayo,
Ipo hivi baada ya kushinda kesi mshinda kesi huwa ni sharti akafungue maombi ya kukaza hukumu/utekelezaji. Bila hivyo inakuwa ni ngumu sana.
Asante,nishaandika barua
 
Unasemaje umeshinda kesi ili hali hauna nakala ya hukumu Mkuu?.

Tuachane na hayo,
Ipo hivi baada ya kushinda kesi mshinda kesi huwa ni sharti akafungue maombi ya kukaza hukumu/utekelezaji. Bila hivyo inakuwa ni ngumu sana.
Siyo kila hukumu ina sifa za kukazia hukumu, hukumu zingine zinakua na sifa ya utekelezaji tu!!
 
Habari za leo ndugu zangu,

Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.

Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.

Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.

Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?

Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.

Nawasilisha.
Mambo mdogomdogo mkuu.Hata mdaiwa wako ana haki pia.Utalipwa tu.Haste-haste!
 
Utataikiwa kumfunga ila gharama zote za chakula na matibabu akiwa jela ni juu yako wewe!!kwa sasa nadhani kwa siku inaweza fikia 15000;na kila mwanzoni mwa mwezi lazima utie mpunga kwenye accounts.
Kwa mujibu wa sheria au?
Naomba unitajie hicho kifungu cha sheria
 
Kesi za madai zina usumbufu na kupoteza muda... hapo jiongeze
 
Habari za leo ndugu zangu,

Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.

Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.

Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.

Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?

Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.

Nawasilisha.
Mkuu pole sana, kesi kama yako ilishawahi nitokea ( mahakama ya ukonga pale) , mahakama ambazo watu tunaona ni mahala pazuri pa kupatia haki zetu , Siku hizi pamegeuka mgongo wa mahakimu kujiingizia kipato kwa kudhulumu haki ya mdai.

Binafsi nlipofikia hatua ya kukazia hukumu na nikaona jinsi hakimu alivyokuwa akinizungusha, na wakati huo naishi mbezi huku haki naitafutia ukonga, nikaona ni wastage of time and money, nikaamua kuachana nayo nikakubali kudhulumika million 5 na points zake.

Kimsingi inatia hasira sana, niliwaza nimkodishie mabaunsa niwalipe wakamshushie kichapo cha mbwa mwizi, na nikaanza mchakato lakini washauri wangu wa karibu walinizuia, bt nliamua kukubali matokeo till now nmegain zaidi ya hyo hela.

Ushauri wangu ni huu, achana nayo hayo , anza upya , usirudie kosa hta kama ni ndugu yako usimkope chochote. Nayeyuka kitahilatahila.
 
Mkuu pole sana, kesi kama yako ilishawahi nitokea ( mahakama ya ukonga pale) , mahakama ambazo watu tunaona ni mahala pazuri pa kupatia haki zetu , Siku hizi pamegeuka mgongo wa mahakimu kujiingizia kipato kwa kudhulumu haki ya mdai.

Binafsi nlipofikia hatua ya kukazia hukumu na nikaona jinsi hakimu alivyokuwa akinizungusha, na wakati huo naishi mbezi huku haki naitafutia ukonga, nikaona ni wastage of time and money, nikaamua kuachana nayo nikakubali kudhulumika million 5 na points zake.

Kimsingi inatia hasira sana, niliwaza nimkodishie mabaunsa niwalipe wakamshushie kichapo cha mbwa mwizi, na nikaanza mchakato lakini washauri wangu wa karibu walinizuia, bt nliamua kukubali matokeo till now nmegain zaidi ya hyo hela.

Ushauri wangu ni huu, achana nayo hayo , anza upya , usirudie kosa hta kama ni ndugu yako usimkope chochote. Nayeyuka kitahilatahila.
Kaka na mm nimepatwa na kadhia ya kudhurumiwa, kesi yangu iko ivi nilikua namtumia hela rafiki yangu mmoja hivi Ani nunulie mazao tangu mwezi wa 8 mwaka huu(maharagwe) kijijini lkn last month alinitumia msg kwamba mzigo wa mazao aliuuza ili alipe fidia kwa wazazi ambao alimpa mimba binti yao(student). Je naweza kumfungulia kesi ya utapeli
 
Habari za leo ndugu zangu,

Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.

Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.

Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.

Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?

Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.

Nawasilisha.
Jinyonge
 
Back
Top Bottom