Chacha wa marwa
Senior Member
- Jul 5, 2013
- 116
- 20
Kuna kiwanja kimeingiliana na jirani yangu, ambapo kwenye hicho kuna nyumba yangu na ya kwake, sasa kwakuwa nyumba yake ni kubwa inavyumba 8 anataka achukue hati ya hicho kiwanja nyumba yangu ina vyumba 3 je sheria inasemaje? Naomba msaada wenu wana jamvi maana naona kama nataka dhurumiwa.