themathematicalmodelling
Senior Member
- Feb 2, 2018
- 174
- 327
Dear Team,
Introduction:
Nimefika kwenye slub stage ili niendelee na floor ya kwanza,
What do I need? Ninahitaji kupunguza gharama za materials kwa kupata twiga cement 42.5 (200 bags) direct from kiwandani pale wazo hill hivyo naomba yoyote mwenye kuweza kunisaidia hili nahitaji bags 200 direct from kiwandani kwa Bai ya kiwandani, pia ninahitaji nondo ton 4.5 direct from kiwandani kwa bei ya kiwandani hivyo naomba msaada from anyone ili kifanikisha hili
Conclusion
Please kindly naomba connection ya mtu yoyote anayeweza kifanikisha hili jambo please treat this request with seriousness
Introduction:
Nimefika kwenye slub stage ili niendelee na floor ya kwanza,
What do I need? Ninahitaji kupunguza gharama za materials kwa kupata twiga cement 42.5 (200 bags) direct from kiwandani pale wazo hill hivyo naomba yoyote mwenye kuweza kunisaidia hili nahitaji bags 200 direct from kiwandani kwa Bai ya kiwandani, pia ninahitaji nondo ton 4.5 direct from kiwandani kwa bei ya kiwandani hivyo naomba msaada from anyone ili kifanikisha hili
Conclusion
Please kindly naomba connection ya mtu yoyote anayeweza kifanikisha hili jambo please treat this request with seriousness