Msaada kwenye Tuta.. NATAKA KUFUNGUA SALOON YA KINA DADA... WADADA NITAJIENI HUDUMA NZURI

Mwl Mkwaya

Member
Joined
May 20, 2011
Posts
68
Reaction score
7
Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma.
 
Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma.
KWANZA KABISA,

HAKIKISHA KWAMBA MTOA HUDUMA UWE WEWE MWENYEWE AU MKEO (Tena mwaminifu),
VINGINEVYO UNAPIGWA !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…