Mwl Mkwaya Member Joined May 20, 2011 Posts 68 Reaction score 7 Jun 12, 2019 #1 Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma.
Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma.
Seneta Wa Mtwiz JF-Expert Member Joined Sep 23, 2013 Posts 3,635 Reaction score 4,160 Jun 12, 2019 #2 Mwl Mkwaya said: Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma. Click to expand... KWANZA KABISA, HAKIKISHA KWAMBA MTOA HUDUMA UWE WEWE MWENYEWE AU MKEO (Tena mwaminifu), VINGINEVYO UNAPIGWA !!!
Mwl Mkwaya said: Nimepata frame Zanzibar hii, nataka kufungua salun ya kike ! Naomba msaada kujua huduma gani na gani nikiziweka nitakuwa nimefikia malengo na mdada akija atafurahia huduma. Click to expand... KWANZA KABISA, HAKIKISHA KWAMBA MTOA HUDUMA UWE WEWE MWENYEWE AU MKEO (Tena mwaminifu), VINGINEVYO UNAPIGWA !!!
Mwl Mkwaya Member Joined May 20, 2011 Posts 68 Reaction score 7 Jun 12, 2019 Thread starter #3 Seneta Wa Mtwiz said: KWANZA KABISA, HAKIKISHA KWAMBA MTOA HUDUMA UWE WEWE MWENYEWE AU MKEO (Tena mwaminifu), VINGINEVYO UNAPIGWA !!! Click to expand... Thanks mkuu
Seneta Wa Mtwiz said: KWANZA KABISA, HAKIKISHA KWAMBA MTOA HUDUMA UWE WEWE MWENYEWE AU MKEO (Tena mwaminifu), VINGINEVYO UNAPIGWA !!! Click to expand... Thanks mkuu