Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!Nisaidieni jamani.....natafuta kazi mpaka nachanganyikiwa.Nina bachelor ya social science na experience ya mwaka mmoja (internship) katika program assistant- sera na utawala bora. Msaada plzzzzzzzz
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
no itakua zipo kwapani akifunika kwapa hamna kitu..nilishawahi kuambiwa kuna watu akili zao hazipo kichwani nikabisha..... ila huyu... ninaamini zipo ma*ta*ko*ni.....