Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Ipo hivi unakutana na demu unamtongoza unampa maneno ya kibao ya kuwa unampenda mara paap anakuomba smartphone yako kuna vitu atakagua kama kweli unampenda au jau tu.
Kwahyo Situation utampa simu yako au?
Kwahyo Situation utampa simu yako au?