Nimesha kujibu hilo lakini kukuongezea maarifa kuna uyeyushaji pia. Kuna maneno huwa yanaugumu kidogo wakati wa kutamkwa hivyo kitamkwa u huwa w ili kurahisisha uzungumzaji.Naomba watalaamu wa kiswahili wanisaidie kwanini tunaandika Mbwa badala ya Mmbwa,Mbu badala ya Mmbu na ikizingatiwa kimatamshi tunatamka Mmbwa na Mmbu badala ya Mbwa, Mbu?
Maneno yapo mengi ila hayo ni kama mfano
Shukrani mkuu kwa majibu yakoNimesha kujibu hilo lakini kukuongezea maarifa kuna uyeyushaji pia. Kuna maneno huwa yanaugumu kidogo wakati wa kutamkwa hivyo kitamkwa u huwa w ili kurahisisha uzungumzaji.
Mfano
Mualimu -- Mwalimu
Muembe ---- mwembe
Muizi --- mwizi
Muimbaji------ mwimbaji
*Karibuni wadau wengine kwa msaada zaidi
KaribuShukrani mkuu kwa majibu yako