Kinapatika wapi hicho kitabu na ni how much?Nunua kitabu kiitwacho TANZANIA LABOUR STATUTE kinazo Acts na Rules zote zikiwamo hizo unazohitaji. Nimetafuta hazipo kwenye website yoyote. Mimi nilinunua hicho kitabu kinanisaidia.
Nenda Pamba Road ,mtaa unaopatikana nyuma ya New Africa Hotel, ikishindikana nenda maktaba ya High Court...Pia nenda Duka la serikali
Nenda Pamba Road ,mtaa unaopatikana nyuma ya New Africa Hotel, ikishindikana nenda maktaba ya High Court...Pia nenda Duka la serikali