Ccm Hoyee[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Aisee zimejaa?
Nina mda sijafika dodoma Capetown ndio kiwanja kinakimbiza saivi au ?Lodge ya Nini? Wewe maliza kikao jioni tukutane pestana tunakesha mpaka asubuhi halafu tunahamua Capetown kucheki Simba na yanga, tukimaliza gemu tunaenda zetu chako tunatoboza mpka asubuhi halafu asubuhi kwenye gari unarudi zako kwenu. Wacha kuchezea pesa kwa kulipia lodge.
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]Lodge ya Nini? Wewe maliza kikao jioni tukutane pestana tunakesha mpaka asubuhi halafu tunahamua Capetown kucheki Simba na yanga, tukimaliza gemu tunaenda zetu chako tunatoboza mpka asubuhi halafu asubuhi kwenye gari unarudi zako kwenu. Wacha kuchezea pesa kwa kulipia lodge.
Ina kila kitu? Maji je?nenda awe Lodge ni 12000/- ipo majengo sokoni.. 0712 547 679 namba hiyo
Kila kitu mzee maji moto, self, Tv(chogo) imeunganishiwa Cable system, na condoms zinapatikana bure unajichukulia tu
Ipo karibu na kituo cha shabiby au kimbinyiko?Kila kitu mzee maji moto, self, Tv(chogo) imeunganishiwa Cable system, na condoms zinapatikana bure unajichukulia tu