Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Ni maji ya rose yanauzwa madukani. Mi huwa natumia haya[emoji116] View attachment 345799View attachment 345799
ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni maji ya rose yanauzwa madukani. Mi huwa natumia haya[emoji116] View attachment 345799View attachment 345799
Kama Mimi piaMie nishajaribu lotion kadhaa zimedunda hizingozi jamani sijui za mamba
Inapatkana wap???Kuna dawa flani ya limao naikumbuka sijui inaitwa lemonade! Unaichukua na pamba unasugua uso wenye mafuta. Tulikuwa tunatumia sana mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili...
Yaani ulikuwa unatumia betamethasone cream kama vile mafuta ya ngozi ya kawaida??..maajabu haya.Jamani na mimi natumia medivin cream nataka kuacha, je nitumie nini ili kuondoa cream??
[emoji38][emoji38][emoji23]Yaani ulikuwa unatumia betamethasone cream kama vile mafuta ya ngozi ya kawaida??..maajabu haya.
Mkuu,hii inapatika hapa Bongo?niliona kuna mtu aliuliza swali kama hili mahali fulani aliyejibu akamwambia atumie hii ni nzuriNeutrogena oil free moisturizer ni nzuri
Unachunus VP Kwa wanaume inafaaMimi uso wangu una mafuta sana nikashauriwa nitumie cleanser inaitwa vovi aiseehh sitaiacha kabisaa ni nzuri na inapatikana maduka yote ya s.h.amon bei ni 15k
Neutrogena oil free moisturizer ni nzuri
Inpatikanika wap?Neutrogena oil free moisturizer ni nzuri