Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Kumekucha.
Yaani ninatumia app hapa ya kuangalia mechi "Football live" na "live tv" yaani ili mechi iishe ninahitaji si chini ya MB 800 na kama kuangalia hadi matangazo ni GB nzima .
msaada walau nipate app ya chini ya 500 Mb kwa kila mechi za epl.
Msaada tutani majogoo wanacheza na nipo mbali na kumbi za mpira.
Yaani ninatumia app hapa ya kuangalia mechi "Football live" na "live tv" yaani ili mechi iishe ninahitaji si chini ya MB 800 na kama kuangalia hadi matangazo ni GB nzima .
msaada walau nipate app ya chini ya 500 Mb kwa kila mechi za epl.
Msaada tutani majogoo wanacheza na nipo mbali na kumbi za mpira.