yap hiyo hiyo, haili bando kivile, haina matangazo ya kukera na games mpaka za kibongo unapata humo HDJaribu kuwa unatumia website ya fawanews.com mechi zote hadi ligi kuu(mb chache na picha HD)
Japo hii site inaweza fungwa badae kutoka na mambo ya hatimiliki na mengine
Yeah karibia game zote sahivi nacheki liver online wameungana na channel ya ESPN bundle haijaisha hata mb 200 mpaka 1st halfyap hiyo hiyo, haili bando kivile, haina matangazo ya kukera na games mpaka za kibongo unapata humo HD
Hizo apps zinazingua siku hzi na matangazo yao ya wadada wanatikisa makalio, au mikopo.Kumekucha.
Yaani ninatumia app hapa ya kuangalia mechi "Football live" na "live tv" yaani ili mechi iishe ninahitaji si chini ya MB 800 na kama kuangalia hadi matangazo ni GB nzima .
msaada walau nipate app ya chini ya 500 Mb kwa kila mechi za epl.
Msaada tutani majogoo wanacheza na nipo mbali na kumbi za mpira.
Yeah ni free hakuna malipo ni wewe na bando lakoinapatikana free?
AsanteIngia hapa
FawaNews - Your Home of Sport
Latest sports news , Eredivisie , Jupiler pro league , English Premier League , Formule 1 , Ralley , Moto GP ,Bundesliga, La Liga , NBA , NFL , NHL ... and all other european leagueswww.fawanews.com
Nimeitest kwa game ya man city iko poaa sana.Tumia Fawanews utanishukuru,humo Hadi NBC zinarushwa
Andika Fawanews google, kwanza inakula MB chache sana
kuna watu wanauza GB1 kwa 700 we upo wapi mzeeKumekucha.
Yaani ninatumia app hapa ya kuangalia mechi "Football live" na "live tv" yaani ili mechi iishe ninahitaji si chini ya MB 800 na kama kuangalia hadi matangazo ni GB nzima .
msaada walau nipate app ya chini ya 500 Mb kwa kila mechi za epl.
Msaada tutani majogoo wanacheza na nipo mbali na kumbi za mpira.